PSRS
  • Home
  • ABOUT US
    • Secretary’s Desk
    • Organization Structure
    • Who are we?
  • Divisions
    • Administration & Human Resources Management
    • Information and Communication Technology
    • Recruitment Management
    • Quality Control
  • UNITS
    • Procurement Management
    • Government Communication
    • Internal Audit
    • Finance & Accounts
    • Legal Services
    • Planning, Monitoring & Evaluation
  • CONTACT
  • FEEDBACK
  • GALLERY
    • Video
    • Photo
  • PUBLIC INFO
    • Legislation
    • General Information
    • Hoja Za Wadau
  • ARCHIVE
  • Recruitment Portal
  • STAFF MAIL
  • LOSS REPORT
Advertisements

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MJI WA BABATI 03-01-2026

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) 03-01-2026

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO 03-01-2026

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI 03-01-2026

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA 31-12-2025

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA 31-12-2025

news TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) 30-12-2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGWE 29-12-2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 29-12-2025

Call for Interview

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA AJIRA ZA MKATABA 24-11-2025

Placements

news TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 03-01-2026

news TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 02-01-2026

news TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 31-12-2025

news TANGAZO LA KUITWA KAZINI BUNGE LA TANZANIA 30-12-2025

news TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 30-12-2025

news TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 30-12-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 23-12-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 19-12-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 18-12-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 05-05-2025

PSRS Journal

JARIDA TOLEO LA 2-AUGUST 2024 18-09-2024

Jarida - Januari 2024 15-02-2024

news

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete alipowasili katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ili kujitambulisha kwa Menejimenti na watumishi wa taasisi hiyo.

news

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray akipokelewa katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma alipofanya ziara ili kujitambulisha kwa Menejimenti na watumishi wa taasisi hiyo.

news

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete(katikati) akiwa na Naibu Waziri Mhe. Regina Qwaray (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na viongozi wengine alipofanya ziara katika Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.

news

Katibu Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Kiliba (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi hiyo mara baada ya kufungua kikao kazi cha kuandaa mpango mkakati wa miaka mitano.

news

Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Kiliba pamoja na viongozi wengine wametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi hiyo jijini Dodoma.

news

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw.Mick Kiliba akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi hiyo walioshiriki mkutano wa 9 wa Mameneja wa Rasilimali watu Barani Afrika - Jijini Arusha

news

Katibu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Lutechura Kiliba akipokea ripoti ya makabidhiano ya ofisi kutoka kwa Naibu Katibu Mhandisi.Samwel Tanguye.

news

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bi.Lynn Chawala akitoa maelezo mafupi kwa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla alipotembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika viwanja vya maonesho Maisara - Zanzibar

news

Mjumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Abdi Faki (Wa nne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliambatana na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye katika kujionea namna huduma zinavyotolewa kwa wadau wanaotembelea banda la ofisi hiyo.

news

Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye mafunzo Mkoani Morogoro.

news

Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akifungua Kikao cha Mafunzo kwa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mkoani Morogoro kwa niaba ya Kaimu Katibu wa Ofisi hiyo Bw.Innocent Bomani

news

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Bw.Xavier Daudi akisaini kitabu cha Wageni katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma

news

Dondoo muhimu kuhusu mfumo wa usaili kidigitali

news

Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Kada ya Marine Engineer II wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) jijini Mwanza

news

Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akizungumza kwenye kikao kazi cha kutambulisha mfumo mpya wa usaili kidigitali

news

Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Fundi Sanifu Mifumo ya Maji II

news

Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Autoelectrical

news

Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa Vitendo kada ya Mpishi

news

Msailiwa akiwa katika usaili wa vitendo uliohusisha kuchomelea vyuma

news

Msailiwa akiwa kwenye usaili wa vitendo wa Kada ya Mechanical

news

Msailiwa akiwa kwenye usaili wa vitendo wa kuendesha mitambo

news

Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo uliohusisha kuunganisha vitanda vya hospitali

news

Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo wa kupaka rangi vifaa

Visitors

Online
Today
This Week
This Month
All days

Useful Links

  • Ofisi ya Rais-Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • Government Portal
  • NIDA
  • NECTA
  • NACTE
  • TCU

Contacts

    • President's Office,
    • Public Service Recruitment Secretariat,
    • P.O. BOX 2320,
    • Dodoma.
    • katibu@ajira.go.tz
    • +255 (26) 2963652

Office Location

© 2026 PO-PSRS. All Rights Reserved

Loss Report Information
Loss Report Information
ADVERTISEMENTS ARCHIVE